Wakadinali – “Maproso” Ft Suzanna Owiyo

ad

Lyrics
Maproso ft. Suzanna Owiyo – Wakadinali

…………(beat)

Na kwani mi najuta balaa Gani iliyonikumba Mimi

nilikuwa naye mchumba wangu aliyeitwa maproso

nilimuahidi ndoa ya kifahari ,mapumziko yetu yangekuweko mombasa

kama ni manyumba na magari mi ningempa ila siku ya harusi maproso kanitoroka

kaniibia hela na vifaa vyenye dhamana

nikapigwa butwaa moto ukanifunguka

Ooh maproso mbona umeamua kunifanya hivi mama?

Mbona umeamua kuniua mi mapema,?

Nilikupenda sana moyoni wewe wajua nikapigwa butwaa moyoni ukanifunguka aa…

Ooh maproso mbona umeamua kunifanya hivi mama?

Mbona umeamua kuniua mi mapema?

Nilikupenda sana moyoni wewe wajua nikapigwa butwaa moyoni ukanifunguka aaa…

Hera okwar Koko,Hera okwar chaye

Hera dwaro kueye ×2

Hera okwar Koko,Hera okwar chaye

Hera dwaro kueye×2

Yoh,kesho itakam na nini? ..Now that uliniachia

mkidi,nilijuaga we ni mdhigidhi but sikudhani itawai kuwa hivi

Mkono stingy haijawai kuwa Mimi,najua spendagi

vipindi

kwa kikao ni vitimbi na ulikuwa ukiitwa hauitiki

In the beginning God created Eve to deceive me

companion sipingi

na Kaa ni bills ni dingli,paybill yako si Mimi

na ujiekee hizo risiti

Wakadinali – “Maproso” Ft Suzanna Owiyo Mp3 Download

DOWNLOAD